TANZANIA YOUTH SHINNING ORGANIZATION-TAYOSO ni jumuiya ya wasomi Tanzania kuanzia sekondari “A- Level” mpaka chuo, yenye kuleta mtandao wenye tija kwa wanachama na Taifa kwa ujumla, katika misingi ya upendo, uzalendo, amani na ushirika baina ya wanachama na ambao si wanachama.
50 years Hip hip HUREEE fellow Tanzanians, THE jubilee
Sasa hii michezo iliyoaanza huko TANESCO ya kutukatia umeme, hebu angalia sasa hata hiyo minara nayo imeamua kucheza kamchezo ka kuruka kamba. Hivi watanzania tunaadhimisha jubilee ya miaka 50 ya uhuru kwa burudani hii.
No comments:
Post a Comment